Koja La Lugha
Shaaban Robert
"Kitabu chengine cha mashairi ya marehemu Shaaban Robert. Mashairi yaliyomo humu si mfano mwema tu wa utunzi bali ni vielezo vizuri vya mambo yaliyokuwa yakitendeka katika jumuia ya marehemu Shaaban na ambayo, baadhi yake mpaka sasa, yangali yakitendeka katika sehemu mbalimbali za Afrika ya Mashariki. Lugha iliyotumiwa ni nyepesi na kunjufu. Kila shairi limejaa maana, na ni ushahidi tosha wa ubingwa wa marehemu Shaaban Robert."
درجه (قاطیغوری(:
کال:
1969
خپرندویه اداره:
Oxford University Press
ژبه:
kikuyu
صفحه:
93
فایل:
PDF, 3.99 MB
IPFS:
,
kikuyu, 1969